TANZANIA MUSLIM STUDENTS AND YOUTH ASSOCIATION
0150439981200
0710 640 161
048138000165
Pichani ni wanufaika wa vazi la hijabu ambazo zilizotorewa na uongozi wa TAMSYA Morogoro kupitia mwalimu wao mlezi wa Shule ya Mlandizi - Mvomero. Hii ni katika kuendeleza maazimio ya upatikanaji wa vazi la hijab kwa wanafunzi wa kiislamu mashuleni.