Idara ya Da' awa TAMSYA TAIFA inakutaarifu kuwa kesho siku Jumamosi tarehe 27.04.2024 kutakuwa na mwendelezo wa Darsa letu ambalo hufanyika kila jumamosi
Darsa litafanyika katika ofisi za TAMSYA MKOA WA DAR ES SALAAM
Somo litakalo fundishwa ni MAISHA BAADA YA RAMADHANI & UMUHIMU WA VIJANA KUJITOLEA KATIKA HARAKATI ZA DINI
Darsa litaanza baada ya swala ya al asr na tutakuwa na mlezi wetu Sheikh GHULAM pamoja na sheikh ABDALLAH NDAUGE.
Na walioko mbali na office za TAMSYA Mkoa wa Dar es salaam, Darsa litakuwa live kupitia mtandao wa Google meeting.
Hivyo Tujitahidi kuhamasishana
TAMSYA TAIFA IDARA YA DA' AWA
dawah@tamsya.or.tz